TPDC MPISHI ASIEONEKANA HADHARANI LAKINI CHAKULA CHAKE HULIWA NA KUFURAHIWA NA WENGI
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetajwa kama mpishi anaepika chakula kitamu na kizuri kinachofurahiwa na kupongezwa na wateja ambapo sifa hupewa mhudumu aliyehudumia chakula hicho. Hayo yamesemwa tarehe 30/05/2023 na Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC Bw. Mussa Makame wakati akimuelezea Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa kuhusu mchango wa TPDC katika kuzalisha umeme unaotumika nchini alipotembelea Banda la TPDC kwenye Maonesho ya Wiki ya…
Read more →