Waziri Makamba Atoa Maagizo kwa TPDC Na PURA
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Waziri Makamba Atoa Maagizo Kwa TPDC Na PURAWaziri wa Nishati Mhe. January Makamba, ameliagiza Shirika la Maendeleo ya PetroliTanzania (TPDC) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA),kuhakikisha mradi wa uchimbaji wa gesi kitalu cha Ruvuma kilichopo Mkoani Mtwaraunakamilika kwa wakati.Mhe. Makamba ameyasema hayo leo tarehe 25/11/2022 Jijini Dar es Salaam wakatihalfa ya uwekaji saini Mkataba wa Nyongeza wa Uzalishaji na Ugawanaji Mapato (PSA)Kitalu cha Ruvuma-Mtwara kati…
Read more →