>
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania
ega Logo
Habari
svg-tree

Dar es Salaam, Julai 2, 2026 – Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekabidhi gawio la TZS 15,118,239,486 kwa Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/26, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya TZS bilioni 3.4 ikilinganishwa na gawio la TZS 11,714,451,625.13 lililowasilishwa katika mwaka wa fedha 2024/25. Makabidhiano hayo yamefanyika katika hafla ya Siku ya Gawio 2026 iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya...

Soma Zaidi

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) baada ya kutembelea na kukagua utekelezaji wake katika eneo la Chongoleani, mkoani Tanga, akieleza kuwa mradi huo ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kimkakati kwa Tanzania, Uganda na ukanda mzima wa Afrika Mashariki. Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Mhe. Ndejembi amesema Serikali ya Jamhuri...

Soma Zaidi

Mradi wa Utafutaji Mafuta wa Eyasi Wembere unaendelea kuwa kielelezo cha ubora, ufanisi na uwezo wa kitaalamu ambao Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania limeujenga katika sekta ya utafutaji wa mafuta na gesi asilia nchini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ziara ya ukaguzi wa mradi huo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPDC, Balozi Ombeni Sefue, alisema tangu kuanza kwa shughuli za utafiti mwaka 2015 hadi sasa, TPDC imetumia...

Soma Zaidi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio, ameielekeza Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuimarisha uwekezaji katika sekta ya gesi asilia kwa kuongeza vitalu vipya vya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji zaidi katika shughuli za utafutaji na uzalishaji wa mafuta na gesi nchini. Dkt. Mataragio alitoa maelekezo hayo alipofanya ziara katika ofisi za TPDC jijini Dar es Salaam n...

Soma Zaidi

Mtwara, Februari 27, 2026 Mradi wa Gesi Asilia-Ntorya ukamilike Septemba 2026 Waziri wa Nishati, Deogratius John Ndejembi, ametoa maelekezo mahsusi kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhakikisha Mradi wa Maendeleo ya Gesi wa Ntorya unatekelezwa kwa kuzingatia nidhamu ya muda na viwango vya kitaalam, ili visima vya gesi vianze rasmi uzalishaji ifikapo Septemba 2026 kama ilivyopangwa. Waziri Ndejembi alitoa maelekezo hayo...

Soma Zaidi
Mpangilio