>
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania
ega Logo
Habari
svg-tree

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio, ameielekeza Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuimarisha uwekezaji katika sekta ya gesi asilia kwa kuongeza vitalu vipya vya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji zaidi katika shughuli za utafutaji na uzalishaji wa mafuta na gesi nchini. Dkt. Mataragio alitoa maelekezo hayo alipofanya ziara katika ofisi za TPDC jijini Dar es Salaam n...

Soma Zaidi

Mtwara, Februari 27, 2026 Mradi wa Gesi Asilia-Ntorya ukamilike Septemba 2026 Waziri wa Nishati, Deogratius John Ndejembi, ametoa maelekezo mahsusi kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhakikisha Mradi wa Maendeleo ya Gesi wa Ntorya unatekelezwa kwa kuzingatia nidhamu ya muda na viwango vya kitaalam, ili visima vya gesi vianze rasmi uzalishaji ifikapo Septemba 2026 kama ilivyopangwa. Waziri Ndejembi alitoa maelekezo hayo...

Soma Zaidi

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius John Ndenjembi amefanya ziara fupi katika Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) tarehe 24/11/2025 na kukutana na Bodi ya Wakurugenzi pamoja na Menejimenti ya Shirika hilo kwa madhumuni ya kufahamiana na kuweka misingi imara katika utekelezaji wa majukumu ya sekta ya mafuta na gesi nchini. Akizungumza katika kikao hicho, Waziri Ndenjembi aliipongeza TPDC kwa hatua mbalimbali za kimkakati ilizochukua...

Soma Zaidi

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi asilia katika Kitalu cha Lindi-Mtwara, unaotekelezwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Mhe. DC Mwaipaya alieleza kuridhishwa huko baada ya kutembelea na kukagua maendeleo ya mradi huo, akisisitiza namna TPDC inavyotumia teknolojia ya kisasa ya mitetemo (3D Seismic) katika shughuli zake. "U...

Soma Zaidi

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Mhe. Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ni miongoni mwa miradi bora zaidi duniani inayotekelezwa kwa kuzingatia utu haki za binadamu na uhifadhi wa mazingira. Akizungumza Jijini Tanga mbele ya Waandishi wa Habari Balozi Sefue amesema kuwa mradi huo unaotekelezwa kutoka Kabaale chini Uganda ha...

Soma Zaidi
Mpangilio