>
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania
ega Logo
Habari
svg-tree

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi asilia katika Kitalu cha Lindi-Mtwara, unaotekelezwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Mhe. DC Mwaipaya alieleza kuridhishwa huko baada ya kutembelea na kukagua maendeleo ya mradi huo, akisisitiza namna TPDC inavyotumia teknolojia ya kisasa ya mitetemo (3D Seismic) katika shughuli zake. "U...

Soma Zaidi

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Mhe. Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ni miongoni mwa miradi bora zaidi duniani inayotekelezwa kwa kuzingatia utu haki za binadamu na uhifadhi wa mazingira. Akizungumza Jijini Tanga mbele ya Waandishi wa Habari Balozi Sefue amesema kuwa mradi huo unaotekelezwa kutoka Kabaale chini Uganda ha...

Soma Zaidi

Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umewezesha kukua kwa uchumi haswa katika mikoa ambayo imepitiwa na bomba hilo. Haya yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Mhe. Balozi Ombeni Sefue alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga.  “Mradi huu umekua na manufaa makubwa katika nchi yetu kwanza tumeona mradi umelipa fidia nzuri h...

Soma Zaidi

Haya yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Mhe. Balozi Ombeni Sefue alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mhe. Alexander Mhando mjini Korogwe mkoani Tanga Akizungumza katika kikao hicho Balozi Sefue amesema kuwa Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanga Tanzania (EACOP) ndio mradi bora duniani kwa sasa ambao umezingatia kwa kiasi kikubwa haki na stahiki za w...

Soma Zaidi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb.), amelipongeza Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa juhudi zake katika kuhakikisha wananchi wa mikoa mbalimbali nchini, hususan Kanda ya Ziwa, wananufaika na nishati safi ya gesi asilia. Akizungumza katika banda la TPDC kwenye Kongamano la 4 la Tathmini, Ufuatiliaji na Mafunzo linalofanyika mkoani Mwanza, Mhe. Majaliwa amesema hatua zinazochukuliw...

Soma Zaidi
Mpangilio