>
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania
ega Logo
Habari
svg-tree

Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umewezesha kukua kwa uchumi haswa katika mikoa ambayo imepitiwa na bomba hilo. Haya yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Mhe. Balozi Ombeni Sefue alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga.  “Mradi huu umekua na manufaa makubwa katika nchi yetu kwanza tumeona mradi umelipa fidia nzuri h...

Soma Zaidi

Haya yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Mhe. Balozi Ombeni Sefue alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mhe. Alexander Mhando mjini Korogwe mkoani Tanga Akizungumza katika kikao hicho Balozi Sefue amesema kuwa Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanga Tanzania (EACOP) ndio mradi bora duniani kwa sasa ambao umezingatia kwa kiasi kikubwa haki na stahiki za w...

Soma Zaidi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb.), amelipongeza Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa juhudi zake katika kuhakikisha wananchi wa mikoa mbalimbali nchini, hususan Kanda ya Ziwa, wananufaika na nishati safi ya gesi asilia. Akizungumza katika banda la TPDC kwenye Kongamano la 4 la Tathmini, Ufuatiliaji na Mafunzo linalofanyika mkoani Mwanza, Mhe. Majaliwa amesema hatua zinazochukuliw...

Soma Zaidi

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekutanisha Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika lake pamoja na Bodi za Usimamizi (Governing Bodies) za Kampuni zake Tanzu (GASCO na TANOIL) chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Ombeni Sefue, katika kikao cha pamoja kwa lengo la kufanya tathmini ya kina katika kuboresha utendaji kazi. Kikao hicho kilihudhuria pia na Menejimenti ya TPDC.Aidha, kikao kilifanyika Jijini Arusha.

Soma Zaidi

On August 18, 2025, Deputy Prime Minister and Minister of Energy, Hon. Dr. Doto Biteko officially launched the Youth Economic Empowerment (YEE) Program aimed at transforming the livelihoods of youth in areas affected by the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) project. Speaking during the launch event held in Bukombe village, Geita Region, Dr. Biteko stated that the program is part of EACOP’s Corporate Social Responsibility (CSR) and is...

Soma Zaidi
Mpangilio