>
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania
ega Logo
Habari
svg-tree

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb.), amelipongeza Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa juhudi zake katika kuhakikisha wananchi wa mikoa mbalimbali nchini, hususan Kanda ya Ziwa, wananufaika na nishati safi ya gesi asilia. Akizungumza katika banda la TPDC kwenye Kongamano la 4 la Tathmini, Ufuatiliaji na Mafunzo linalofanyika mkoani Mwanza, Mhe. Majaliwa amesema hatua zinazochukuliw...

Soma Zaidi

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekutanisha Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika lake pamoja na Bodi za Usimamizi (Governing Bodies) za Kampuni zake Tanzu (GASCO na TANOIL) chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Ombeni Sefue, katika kikao cha pamoja kwa lengo la kufanya tathmini ya kina katika kuboresha utendaji kazi. Kikao hicho kilihudhuria pia na Menejimenti ya TPDC.Aidha, kikao kilifanyika Jijini Arusha.

Soma Zaidi

On August 18, 2025, Deputy Prime Minister and Minister of Energy, Hon. Dr. Doto Biteko officially launched the Youth Economic Empowerment (YEE) Program aimed at transforming the livelihoods of youth in areas affected by the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) project. Speaking during the launch event held in Bukombe village, Geita Region, Dr. Biteko stated that the program is part of EACOP’s Corporate Social Responsibility (CSR) and is...

Soma Zaidi

The Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) has implemented an important education and awareness program targeting stakeholders and communities in areas affected by the 3D seismic survey project in the Lindi-Mtwara exploration block. This awareness initiative aims to enhance stakeholder and community understanding of the project's significance and promote cooperation in its implementation. Speaking during the implementation of the p...

Soma Zaidi

The District Commissioner of Lindi, Hon. Victoria Mwanziva, has commended the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) for being among the government institutions actively participating in the Southern Zone Agricultural, Livestock, and Fisheries Exhibitions (NaneNane). She also praised the Corporation for using the platform to educate the public on the implementation of oil and natural gas projects. She gave the commendation on August 2,...

Soma Zaidi
Mpangilio