EACOP NI MRADI BORA ZAIDI DUNIANI KWA KUJALI UTU NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA –BALOZI OMBENI SEFUE

Haya yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Mhe. Balozi Ombeni Sefue alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mhe. Alexander Mhando mjini Korogwe mkoani Tanga Akizungumza katika kikao hicho Balozi Sefue amesema kuwa Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanga Tanzania (EACOP) ndio mradi bora duniani kwa sasa ambao umezingatia kwa kiasi kikubwa haki na stahiki za w...








